Thursday, April 14, 2011

HAKI YA MAMA! BABU HAROUN ANATISHA NTWARA WALAHI

Inspecotr Haroun a.k.a babu ameonyesha uwezo wake kwa mashabiki wa muziki wa kizazi kipya katika mji wa mtwara wakati alipoenda kufanya shoo ya kufa mtu na kuwafanya mashabiki hao pamoja na wapenzi wa miondoko hiyo kumtaiti asiondeke kwa kutaka awapagawishe na kibao chake cha milima na mabonde. Picha na Ismail Mang'ola aliyekuwa Mtwara.

No comments:

Post a Comment