Wednesday, April 6, 2011

Kesho ndio kesho Kilimani Holl ndani ya mji wa Dom na JAHAZI Morden Taarab

Ikumbukwe ya kwamba wale wakali na nguli wa miondoko ya mipasho hapa Bongo Mzee Yusuf pamoja na kundi lake zima la JAHAZI MORDEN TAARAB wana wa kunakshinakshi, wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo mbele ya wasomi wa bongo wanaoratibu program za sheria yaani wabunge, watakuwa pamoja na jahazi katika kuwakonga nyoyo mashabiki na wapenzi wa muziki katika mkoa huo wa Dom. Shoo hiyo itapigwa katika ukumbi wa KILIMANI Aprili 7mwaka huu, washikadau wote mnakaribishwa na kiingilio chako uwe nacho sio kikubwa saaana hakika utafurahia kiasi hicho ulichokitoa.  

1 comment: