Wednesday, June 13, 2012

MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM

Watukufu Waislamu wakimsikiliza kwa makini Sheikh Mapeo wakati akielezea kuhusu hujuma dhidi ya Watendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa NECTA katika maandamano yaliyofanyika siku chache zilizopita jinsi lilivyofanya hujuma kwa wanafunzi wa Kiislamu kwa kuwafyeka alama zao za mitihani. Picha na Ismail Mang'ola wa FBM/ www.fullutamu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment