Wednesday, June 13, 2012

MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM

akinamama wa Kiislamu wakiwa katika kiwanja cha kidongo chukundu jijini Dar es Salaam wakifuatilia hatima ya vijana wao ambao wamekuwa wakihujumiwa alama za mitihani yao dhidi ya Baraza la Mitihani la Taifa, hivyo kuutaka uongozi mzima wa Baraza hilo lijiuzulu kuanzia nafasi ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu pamoja na watendaji wake.
Picha na Ismail mang'ola wa FBM/ www.fullutamu.blogspot.com/ 

No comments:

Post a Comment