Sunday, March 13, 2011

KILA KUKICHA MOTO MOTO

Gari lenye namba za usajili STK 2691 likiwa katika eneo la tukio mara baada ya kumaliza kuuzima moto huo.
Baadhi ya wapangaji wakiwaomba maafisa wa jeshi la polisi hawapo pichani kuingi ndani kuangalia kama kuna baadhi ya vitu vyao vilivyosalimika.



Abdkarim wa pili kutoka kushoto ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya Bakharesa akihojiwa na maafisa wa jeshi la polisi, Tanesco na wengine kutoka kikosi cha Zima moto.  Picha na Ismail Mang'ola

No comments:

Post a Comment