Monday, March 14, 2011

SEMINA YA WABUNGE WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UMEFUNGULIWA RASMI LEO.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe akizungumza na waandishi wa habari juu ya mustakabali wa kampuni tata ya kufua umeme DOWANS katika ukumbi wa Blue Peal Hotel ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo. Picha na Ismail Mang'ola.

No comments:

Post a Comment