Thursday, March 17, 2011

Wee Bi. Mkubwa! inamaana huna Hasband wako mahomu?.

Haya ni mambo ya wadau wa kumbi za burudani lakini mwenzangu na mie kama mambo haya huyahusudishi, hakiamungu huwezi kutoka hata kiduchu utaishia kuyasikia tu kwa wenzako lakini usipime.
Aunt Ezekiel akiwa katika moja ya pozi.
Msanii ghali wa muvi hapa tz Aunt Ezekiel akinena jambo na msanii mwenzake mishale ya saa tisa usiku katika ukumbi wa Mango jijini pale Twanga walipokuwa wakitoa burudani. Picha na Ismail Mang'ola.
Mnenguaji wa Extra Bongo ambaye jina lake halikufahamika moja akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki katika moja ya onyesho la bendi hiyo hapa jijini.

No comments:

Post a Comment