Sunday, March 27, 2011

WABUNGE SASA WAIKUBALI APRM.

Mbunge wa jimbo la ukonga Mhe. Eugen Mwaiposa akichangia moja ya hoja katika mkakati wa APRM ambapo kwa ujumla Bunge la Jamuhuri ya Muungano ulikubaliana na mpango huo ambao utazishirikisha na kuwakutanisha viongozi wakuu wa nchi za Afrika. Picha na Ismail Mang'ola/ WBM.

No comments:

Post a Comment