Sunday, March 27, 2011

HUU MPANGO MWENZIO NDIO KWANZA NAANZA KUUELEWA, KUMBE UNAMANUFAAE!

Mhe. Elizabert Mbowe kushoto akiteta jambo na Mbunge wa Maswa Magharibi kupitia kiti cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wakati wa semina ya kuihamasisha umma pamoja na mashirika mengine kujiunga na mapango huo wa APRM unaolenga kuleta maendeleo. Picha na Ismail Mang'ola./WMB.

No comments:

Post a Comment