Thursday, March 17, 2011

Kumbe Spaider nawe kwenye misafara ya Kenge umoooo! haya huku wapi tena, afu mbali kinoma na unakokaa duh.

Msanii wa muziki wa mduara Rashid Mustafa Msabaha (Spaider) kulia akiwa chobingo na mdu wake katika pande za Chang'ombe Unubini Temeke.
Tuesday Kihangala akigombania ugali na Stella ambaye ni msanii wa muvi hapa bongo.
Mwanamuziki wa kundi la Extra Bongo wana wa mbongo Mzee Faggason akiyarudi na shabiki wake alipokuwa akijinafasi na kundi hilo katika kile alichoahidi kuhakikisha anashuhudia mwenyewe kuliko kusimiliwa. 
                                     Picha na Ismail Mang'ola.

No comments:

Post a Comment