Monday, March 14, 2011

HUWEZI AMINI!, HIVI ALIVYO ANATEGEMEWA NA MAMA YAKE MZAZI.

Mlemavu Balton Kiwelu ameelezea mstakabali wake juu ya hali aliyonayo na kusema licha ya ulemavu aliokuwa nao bado mama yake mzazi anamtegemea. Kiwelu amesema mama yake pia ni mlemavu ambaye alikatwa mguu wake mika mingi iliyopita na kumsababishia hali hiyo ya kutojishughulisha na badala yake akalitupia jicho lake kwa Balton. Watanzania, kutoa ni moyo, mwenye nacho asisite kumtafuta kwani anapatikana Liwiti / Msimbazi au barabara ya Bibi Titi Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Picha na Ismail Mang'ola.

No comments:

Post a Comment