Sunday, March 13, 2011

MTU MZIMA KAZINI

Huyu ni askari wa kikozi cha Zima moto.
1.Nyumba moja ya Bw. Abdulkarim Sheru mkazi wa Mwananyamala Komakoma Kinondoni jijini Dar es Slaam, imenusurika kwa kuteketea na moto baada ya kutokea kwa kile kinachoaminika kuwa ni shoti ya umeme na kuteketeza vyumba vinne vya kulala na sebule mbili ambapo tathimini ya vitu vilivyoteketea bado haijafahamika.
Picha na Ismail Mang'ola. 

No comments:

Post a Comment