Friday, March 11, 2011

EXTRA BONGO WAKALIA KITI CHA KIFALME

1.Kundi la muziki wa dansi hapa nchini Extra Bongo hivi sasa limekaa mahala pazuri baada ya kufanikiwa kukikalia kiti cha Kifalme kwa kuzikamata baadhi ya kanda zinazohusudu burudani hiyo hasa katika kanda za Tabata, Kawe na maeneo mengine.

2.Nguli wa miondoko ya dansi Ally Choki akiwaburudisha mashabiki wa muziki huo katika ukumbi wa Mango Garden Kinondoni jijini Dar es Salaam. Picha na Ismail Mang'ola.

No comments:

Post a Comment