Thursday, May 17, 2012

Akina mama hawa wakazi wa kijiji cha Ngaranaro wilaya ya Babati, wakitoka kutafuta kuni kwa ajili ya matumizi ya kupikia kunihizo huzifuata umbali wa zaidi ya Km mbili katika mlima wa Haraa, huku wakizibeba kwa kutumia migongo yao. Picha na Ismail Mang'ola FBM.

No comments:

Post a Comment