Thursday, May 17, 2012


Licha ya kwamba banda hili ni kituo cha mbio za mwenge! lakini huwezi amini kwa nyakati zisokuwa rasmi hugeuzwa kama mahakama na baadhi ya wananchi wa mji wa Gallapo na vitongoji vyake wameshawahi kuhukumiwa katika banda hili na Mahakama ya Mwanzo Gallapo kwa madai ya kuharibu miundombinu ya maji. Picha na Ismail Mang'ola / FBM

No comments:

Post a Comment