Thursday, May 17, 2012

Kutokana na uhaba wa maeneo ya malisho ya mifugo, Ng'ombe hawa hulazimika kufuata malisho juu ya mlima Kwaraa uliopo umbali mrefu kutoka kijiji cha ngaranaro Wilayani Babati Mkoa wa Manyara, hapa wapo juu ya mlima wakisaka majani. Picha na Ismail Mang'ola / FBM

No comments:

Post a Comment