Thursday, May 17, 2012

Hiki ni mojawapo ya chanzo cha maji kilichopo katika mlima KWARAA mradi uliokuwa  umeanzishwa na wananchi lakini baadaye kundi la watu fulani likajitokeza na kuwanyang'anya wananchi hao na kukiita GAWASA, kulia ni Bw. Dodoo aliyekuwa Mhasibu wa mradi wa maji kabla ya kunyang'anywa na Gawasa. Picha na Ismail Mang'ola / FBM.

No comments:

Post a Comment