Tuesday, May 22, 2012

MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: Naibu Waziri wa Eilimu na Ufu...


Asalam alayqum, jamani poleni, inshalaah msichoke sana kwani muda si mrefu zoezi la kuwatunuku ndugu zetu vyeti litaanza, si mnaona jinsi Mc anavyopeleka shughuli harakaraka kwa kuzingatia muda uliosalia? inshalaah allah ataleta kheri katika siku hii ya leo, mwenye kufanya subira ametengewa haki yake na allah.
Picha na Ismail Mang'ola / FBM 


No comments:

Post a Comment