Thursday, May 17, 2012

Mkurugenzi wa Fullutamu.blogspot.com Bw. Ismail Mang'ola wa tatu kutoka kulia akiwa na washkaji zake katika picha ya pamoja kabla ya kifo cha aliyekuwa nguli wa filamu hapa bongo Steven Charles Kanumba walipokuwa katika ukumbi wa Diamond Jubilee wakati wa fainali ya Bongo Star Saech 2009. picha na Christopher Lisa/FBM

No comments:

Post a Comment