Wednesday, May 23, 2012

MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA...


Siku moja bwana nilikuwa pande za Mkoa wa Tanga, wakati nikiwa katika mtaa mmoja barabara ya 17, nikawakuta akina mama wa kisambaa wakiwa wanauza ndizi mbivu, nikatoa noti ya shilingi mia tano na kumkabidhi mmoja wa wauza ndizi na kisha akanipatia ndizi tano, mara akaja mzungu, akamuuliza yule mama aliyeniuzia ndizi. How Murch bananas.
akiwa na maana ndizi shilingi ngapi, yule mama wa kisambaa akamjibu "Baba hazijabanana nimatonga mafungumafungu' yaani maana yake 'Ndizi hazija banana bali amepanga mafungu mafungu! wee acha nicheke, nilicheka nilicheka, mara yule mzungu naye akaanza kuniiga kucheka, basi tena. www.fullutamu.blogspot.com/ kama kawaida ya FBM    


No comments:

Post a Comment