Thursday, May 17, 2012

Jamani sisi wa mjini achane tu tung'ang'anie huku mjini, hili ni bomba la maji safi linalogawa maji katika vijiji zaidi ya vinne, kibaya zaidi halina mfuniko pia liko porini kiasi ambapo ni hatari kwa wakazi wa vijiji vinavyotegemea maji hayo. Picha na Ismail mang'ola / FBM
 

No comments:

Post a Comment