Tuesday, May 22, 2012

MANG'OLA MEDIA .COM: MANG'OLA MEDIA .COM: Naibu Waziri wa Eilimu na Ufu...


Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi Philiph Mulugo akitoa fedha Tsh: 30,000 kwa ajili ya kumpa zawadi mwalimu wa somo la Nidhamu na maadili mema Makamu wa chuo hicho Ustadh Juma nchia baada ya kufarahi kutokana na nidhamu na maadili mema waliyokuwa nayo wahitimu wa chuo hicho ambapo Mhe. alimuahidi makamu huyo kuwa mwishoni mwa mwezi huu atampa tsh:470,000 ambazo jumla ni 500,000.
Picha na FBM/


No comments:

Post a Comment